Posts

JIFUNZE KUTENGENEZA CHAKULA WEWE MWENYEWE.

usiyoyajua kuhusu incubators

hii ndio maana ya ufugaji huria/free range

UBORESHAJI WA UTOTOAJI NA MALEZI YA VIFARANGA VYA KUKU WA KIENYEJI.

Kuku wa nyama broliler wanakua kwa mda wa wiki 4 mpaka kuuzwa wakiwa na kilogram1 pia ukiwapa matunzo mazuri hufikisha mpaka kilo moja na nusu hata zaidi tunaanza na chakula. Wiki mbili za mwanzo hupatiwa broiler starter.

MAGONJWA ,MATATIZO YANAYOTOKANA NA LISHE DUNI KWA KUKU

Chakula bora kwa kuku ni mchanganyiko uliozingatia uwiano katika vitu vifuatavyo:

SUNGURA... zijue tabia za ufugaji wa sungura

JINSI YA KUTUNZA MAYAI YA KIENYEJI MUDA MREFU

UFUGAJI WA SUNGURA...Kabla hujaamua kufuga sungura hakikisha ya kwamba umejitoa na una muda

VIDEO....

Jogoo aina hii ya kuchi ukitajiwa bei…. huwezi kuniamini kwa kweli ila nataka uamini anachuana na hata kumzidi ng’ombe…

KILIMO NA NAMNA YA KULIMA MAINDI...Mahindi ni chakula muhimu na ni aina ya nafaka katika mataifa ya Afrika yaliyomo kusini mwa jangwa la Sahara