HABARI: Katazo la mifuko ya plastic

"Kinachokatazwa ni mifuko ya plastiki tu kwa maana ya vibebeo, lakini vifungashio vingine ikiwemo plastiki za mikate, maziwa, mifuko ya ujenzi na huduma za afya, na mifuko mikubwa ya taka na sukari haijakatazwa" - January Makamba - Waziri wa Mazingira.

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze kuhusu mbilimbili na matumizi yake yote

MAAJABU KUHUSU MAFUTA YA MAWESE

JUA KUHUSU UGONJWA WA BAWASIRI