Jifunze kuhusu mbilimbili na matumizi yake yote MTI WA MBILIMBI (M-MBILIMBI) Huu ni mmea unaopatikana sana sehemu za pwani kama Zanzibar, Tanga, Dar es salaam, Kibaha n.k Ni mmea ambao hauwezi kuhimili ukame wala baridi kali na unastawi zaidi kwenye mvua za kutosha na udongo usiotuamisha maji kabisa. MATUMIZI Miaka mingi mbilimbi zimekuwa zikijulikana kwa matumizi ya achali ndio maana sehemu nyingine mbilimbi zilitungwa jina la PICKLE FRUIT. Utengenezaji wa achali uko wa kuchanganya vitu tofauti tofauti kama nyanya, vitunguu, pilipili, ndimu, malimao, chumvi, maembe n.k ambavyo vinankuwa katika vipande vidogo vidigo, unaweka kwenye chupa na kuanika juani kwa siku kadhaa (ingawa baadhi huupika mchanganyiko huu) Mbilimbi pia hutumika kutengenezea siki (vinegar) na mvinyo, hii mara nyingi hufanyika viwandani na sio majumbani kama ilivyo achali. Mbilimbi pia ni dawa kwa magonjwa kama chunusi, kifua na kukohoa na mengineyo mengi. Ili kutibu kukohoa unatakiwa utafune mbilimbi kama ...
MAAJABU KUHUSU MAFUTA YA MAWESE Mafuta ya mafuta ni mafuta muhimu ya mboga ambayo hutolewa kwa aina mbalimbali za matunda ya mitende ya mafuta. Aina kuu zinazotumiwa katika uzalishaji wa mafuta ya mitende ni mitende ya mafuta ya Afrika (Elaeis guineensis) na mitende ya mafuta ya Amerika (Elaeis oleifera). Mafuta ya Mawese (Palm Oil) ni kawaida kuyakuta na rangi tofauti tofauti rangi ya Njano na rangi ya machungwa kwa sababu ya bidhaa zake za beta-carotene. Pia ni moja ya mafuta machache ya kawaida ya mboga ambayo huongeza viwango vya cholesterol LDL katika mwili wa mtu. Mafuta ya mafuta hutumiwa kama mafuta ya kupikia Afrika, Asia ya Kusini-Mashariki, na nchi fulani Amerika Kusini.Imekuwa maarufu zaidi katika maeneo mengine ya ulimwengu katika miaka ya hivi karibuni kwa sababu ya matatizo ya... kiafya ya kuwa na mafuta mengi ktk mwili yanayo sababishwa na aina nyingine za mafuta ya kupikia. Faida ya afya ya mafuta ya mitende ni pamoja na...
Hizi ni baadhi ya njia ya kuikinga na Bawasiri ni ugonjwa katika njia ya haja kubwa, hujitokeza kama uvimbe au kijinyama ambacho huweza kuonekana hadi nje. Kwa kiingereza hujuliakana kama haemorrhoids au piles. Bawasiri inaweza kupelekea upungufu wa damu mwilini. Bawasiri inaweza kutibika ama kwa upasuaji ama kwa matumizi ya dawa mbadala kwa kipindi kirefu wiki 4 hata 6 au hata zaidi kutegemea ilikuwa imejijenga kiasi gani. Bawasiri husababishwa na nini Hakuna sababu ya moja kwa moja inayojulikana kisayansi kwamba ndiyo husababisha bawasiri, bali mambo yafuatayo yanaweza kupelekea wewe kupatwa na ugonjwa huu: Kufunga choo au kupata choo kigumu kwa muda mrefu Ujauzito – wakati wa ujauzito watu wengine wanaweza kupatwa na bawasiri sababu ya msukumo wa mtoto karibu na sehemu ya kutolea haja kubwa Kushiriki mapenzi kinyume na maumbile Uzee – kadri miaka inavyosogea ndivyo inavyokuwa rahisi kwako kupatwa na ugonjwa huu kwa baadhi ya watu Sababu za kurithi – baad...
Comments
Post a Comment