UFUGAJI.Ikiwa kuna shida ya kuku kuvimba macho

Ikiwa kuna shida ya kuku kuvimba macho, Hapo kuna mara mbili kama macho yamevimba na yanatoa machozi hayo ndiyo mafua na dawa au tiba yake ni FLUBAN ila kama yana vidonda hiyo ni ndui inapaswa uchemshe maji ya uvuguvugu kisha uchovye na kitambaa na upakae kwenye vidonda hivyo na baadaye wapakae iodine tincture kwa ajili ya kukausha huku kwenye maji ukiwawekea CTC 20%

Comments

Popular posts from this blog

Jifunze kuhusu mbilimbili na matumizi yake yote

MAAJABU KUHUSU MAFUTA YA MAWESE

JUA KUHUSU UGONJWA WA BAWASIRI